SUPER TIGER FC ni moja ya timu zinazochipukia kwa kasi katika Kijiji cha Nampungu, kilichopo Wilaya ya Tunduru. Timu hii imejijengea sifa kubwa ndani ya jamii kutokana na nidhamu, mshikamano wa wachezaji, na ari ya ushindani wanayoionesha kila wanapokuwa uwanjani. SUPER TIGER FC imekuwa chachu ya kuibua vipaji vya vijana wengi wa eneo hilo, ambapo wachezaji wake wengi ni wenye ndoto za kufika mbali zaidi katika soka la kitaifa na hata kimataifa.
More lifestyle apps in Swahili.